We Accept: Pay by Mpesa Pay by Tigo Pesa / Airtel Money Pay by CRDB Bank Transfer or Deposit DPO

We are Hiring, Software Developer Intern, Dar es Salaam

We're looking for passionate developers who love clean code and programming. If you are someone who spends his/her spare time on open source projects, keep up to date on the latest developments and techniques in the web based communication world, and love to hack on cool new projects, then keep reading!

We are looking for 2 software development interns to join our company for 12 months with posibility of full employment.


Skill Set

We are looking for a few software development interns proficient with either PHP, Python, flutter, Java to join our development team. Knowledge of front end Development CMS such as WordPress or Joomla  and Backend framework specifuically Laravel is added advantage.


The interns will work with our development team and assist in development activities.


Duties Responsibilities

  • Assist Software Developers to build applications
  • Assist Web hosting client
  • Handle minor enhancements in existing applications


Minimum Qualifications

  • Degree in Computer Science is preferred. We accept candidates from other branches if they have the required skills. Required Skills
  • Good Understanding of HTML, CSS, JavaScript and Web hosting environment
  • Must be able to think logically and come up with a solution to a problem
  • Must have built a small application can be a web, mobile, or a desktop solution
  • Must have the habit of learning individually
  • Must have practiced writing lots of code
  • Strong understanding of basics Server client architecture, application servers and their use, HTTP protocols etc.
  • Must know the basics of databases Schema creation, Normalization, CRUD operations.


General Skills

  • Ability to work in a team environment.
  • Decent oral and written communication skills.
  • Participate in meetings and conference calls with clients.
  • Completes additional duties as required.


Education

Any Graduate

Post Graduation Not Required

Deadline: November 21

New baby in town, .tz second level premium domain is now ready for registration

.tz second level domain is another type of .tz domain name offered by Tanzania Communication regulatory Authority (TCRA) in parallel with other third level domains such as .co.tz, .or.tz and etc. Second level domain is a premium .tz domain which is elegant, easy to remember and also sounds more professional than third level domain. Imagine, your instagram page is @dulawtz and now your domain is Dulaw.tz, it's amazing, right? that is what we call a second level .tz domain.

What is registration Process?

Registration of .tz domain is very simple, just like other .tz domains, you can register second level .tz domain through any TCRA accredited registrars such as Duhosting, Kilihost, Extremeweb Technologies and etc. You can find the list of accredited registrars here https://karibu.tz/domains/registrars/

Who can register .tz domain?

Anyone can register .tz domain, but be careful not to register for the bad faith (those who register with intention to resell to others) 

Can i register any domain i want?

No, in order to protect some common or official names, TCRA have blocked registration for some names. Apart from that list, all other domains are available for registration. You can find a full list of blocked names here 

How long does it take for registration to complete?

Registration is automated, so once registered you will be able to use it within 30 minutes 

When will it open for public?

Starting from 1st July, 2022, all .tz second domains was opened to general public for registration, anyone can register any domain except reserved domains. The process is normal like other .tz domains and you can get your domain instantly just like .tz third level domains direct from .tz domain registration page.

And, what is the price?

This is premium domain, it's more expensive than third level domains. TCRA indicative Registration price is 100,000/= but you can get cheaper than that, for example, we at Duhosting are selling it at 95,000/= for limited time. Hurry up!

Regulations and Guidelines

The following list provide useful documnets from TCRA which may help your understanding

1   GN NO. 940 GN-THE ELECTRONIC AND POSTAL COMMUNICATIONS (DOMAIN NAMES MANAGEMENT) REGULATIONS, 2020
2 Guidelines of DOT TZ Second Level Domain Names
3 Second level reserved names list
 

Historia, Muundo na Faida kuu 5 za kutumia .tz kwa biashara au taasisi yako

Moja kati ya ya maswali ambayo watu wengi wamekuwa wakijiuliza kuhusu matumizi ya majina ya website (domain names) ni je kuna tofauti yoyote kati ya domain za .tz na zile za .com? Pia, wengi wamekuwa na hofu kubwa juu ya ubora na upatikanaji wa kikoa cha .tz pindi wanapoanza kutumia wakihofia kuwa ipo siku domain inaweza isipatikane kutokana na uwezo wa kitaalamu au sababu nyingine. Watu wengi wamekuwa na hisia tofauti tofauti na wengine hata kuanza kuhisi kuwa labda website zao zitaweza kufungiwa kiurahisi na mamlaka kama watatumia majina ya .tz.  Maswali haya ni sehemu ya yale ambayo watu wengi wamekuwa wakijiuliza bila majibu ya moja kwa moja. Duhosting tukiwa ni moja ya Wasajili wakubwa wa kikoa cha .tz tuliosaliwa na mamlaka wa mawasiliano ( .tz domain registrars), tutakujuza jinsi gani domain inafanya kazi, historia yake, faida za kutumia .tz. 

 

Utofauti kati ya Jina la website (Domain name) na Website

Moja ya vitu ambavyo watu wengi wamekuwa wakichanganya ni kuwa, website na Domain wakichukulia ni kitu kimoja. Hivi ni vitu viwili vinavyofanya kazi kwa kushirikiana. Website ni muunganiko wa kurasa za kwenye mtandao zinazotambulishwa kwa kutumia jina moja (Domain Name) zikiwa zimehifadhiwa na kuchapishwa (Published) angalau kwenye server moja inayopatikana katika mtandao wa Internet. Wakati Domain name ni jina linaloitambulisha website kwenye ulimwengu wa mtandao (Internet), mfano dulaw.co.tz ni domain name lakini ndani yake kuna system kwa ajili ya kurahisisha kazi za wanasheria. Hivyo unaweza kuwa na website bila jina na pia unaweza kuwa na jina bila Website lakini hakuna kimoja kinachoweza kufanya kazi bila ya mwingine (Vinashirikiana). Pia, tunapozungumzia Website tunamaanisha ni sehemu mojawapo ya aina ya taarifa zilizohifadhiwa kwenye mtandao lakini inaweza kuwa ni Software mfano Dulaw.co.tz , Application mfano TanzMED, Email, Kifaa cha kwenye mtandao (IOT) nk. Zote hizi zinatumia domain kuweza kufikia mafaili au kifaa husika. Kwa lugha rahisi, Domain ni utambulisho/ jina wa kifaa au website kwenye mtandao, badala ya kuita Kibabla kwenye mtandao utaita duhosting.co.tz. Hivyo unaweza kununua jina la Website sehemu nyingine na ukafanya Web Hosting sehemu nyingine kabisa.

 

Historia ya majina ya Website (Domain Names):

Vifaa vilivyopo kwenye mtandao, kama website, App nk hutumia anuani za mtandao  (IP Address) kuwasiliana, sawasawa na hizi anuani za makazi na namba za nyumba zinazobandikwa hapa Tanzania kwa sasa. Mfano, kama unataka kuifungua website ya Duhosting unaweza pia kuipata kupitia http://198.207.55.196. Ngoja kidogo, je unaweza kuzikariri hizi namba? Hii n diyo sababu ikapelekea kugunduliwa kwa majina ya Webite ili kuwa mbadala wa IP. Mnamo mwaka 1984 wataalamu wa Chuo kikuu cha Wisconsin walitengeneza mfumo unaowezesha kuhusianisha majina ya website pamoja na anuani zao (IP Address) na kuweka taarifa hizi kwenye server waliyoipa jina la DNS Server. Server hii huhifadhi taarifa zote za domains na kuhakikisha DNS server zote za duniani zina taarifa ya upatikanaji wake. Hivyo wakati unafungua Website yoyote, mawasiliano hufanyika kati ya server iliyopo na DNS server kutoa taarifa. Kumbuka, kuna DNS server nyingi sana duniani na zote huwa na taaifa zinazofanana, hii hupelekea hata kama moja itakuwa haipatikaniki, basi haitofanya Website iwe  haipatikani. 

Kulingana na taarifa zilizopo, ni kuanzia mwaka 1985 ambapo majina ya Website kwa kutumia vikoa vya .com, .net na .org yalianza kutumika na watu kuanza kuachana na namba.

Ujio wa .tz Domain

Baada ya miaka hiyo ya 1985 ambapo Domain names zimekuwa zikitumika duniani kote na biashara nyingi zimekuwa zikitumika, na watu wengi wamekuwa wakiendelea kunufaika na matumizi ya domain na kupelekea kuwa nyingi zaidi na zaidi. Kila miaka ilivyozidi kwenda ndipo kukaanza kuonekana umuhimu wa kuwa na domain zenye mipaka ya nchi (Country Code Domains au kwa kifupi ccTLD) na nchi nyingi zikaanza kuzikimbilia kutokana na faida nyingi zinazokuja nazo. Domain hizi ni kama .co.jp kwa Japani, .co.uk kwa Uingereza, .co.za kwa Afrika ya  Kusini au .co.ke kwa kenya. Kwa sasa, nchi zote duniani zinapendelea domain zenye vikoa vya nchi zake. Moja ya changamoto iliyopelekea nchi nyingi kukimbilia domain hizi za nchi ni kujaa kwa domain za .com mfano leo hii unataka kutafuta domain ya dulaw.com ni dhahiri kuwa hautoweza kuipata kwaku wenzetu wameshakuwa kwenye ulimwengu wa technlojia kwa miaka, ila ukitaka domain ya Dulaw.co.tz utaenda Duhosting na kuisajili. Kwa Tanzania, mchakato wa kuwa na doman za nchi ulianza mwaka 1995 na hatimaye mwaka 2006 kampuni isiyo ya faida Tanzania Network Information Center ilianzishwa kati ya TCRA (regulator) and TISPA (the association of ISPs) kwa lengo la kuratibu shughuli za domain na baadae kazi hiyo ikahamishiwa TCRA.

 

Mfumo wa Usajili wa Domain

Katika usajili wa domain kuna muundo rasmi katika ufanikishaji wa usajili, kila muhusika anakuwa na jukumu lake na ukomo wa majukumu kama ifuatavyo.

1. Mtunza taariza (Registry) (kwa .tz huyu ni TCRA ambaye anamiliki server zenye anuani za domain zote (DNS Server) lakini yeye hajihusishi na usajili wa domain moja kwa moja, hivyo hauwezi kwenda TCRA ukasajili domain. TCRA pia huweka miongozi ya namba ya usajili, kutambua wasajili na kupanga bei elekezi kulinga na mujibu wa sheria. Kwa Domain za .com kazi hii hufanywa na IANA.

2. Msajili (Registrar) (mfano Duhosting, Zesha, Killihost nk kama unavyoweza kupata orodha kamili ya wasajili kwenye Wavuti rasmi ya TCRA) Huyu ndiye kiungo kati ya mmiliki wa Domain (registrar) na mtunza taarifa za domain (Registry). Kazi ya registrar ni kuwa na mfumo unaomuwezesha mteja kufikia server za registry na kusajili, kuhuisha, kuhsamisha taarifa za  domain (name server) au kuhuisha taarifa za umiliki wa domain. Hivyo kwa sehemu kubwa, kazi hufanywa na registrar. registrars hupata kipato kutokana na commission inayopatikana kwenye zoezi la usajili kama ilivyoanishwa kwenye sheria.

3. Mmiliki (Registrants): Huyu ndiye mmiliki wa domain, yeye anahusika kwenye matumizi yote ya domain na chochote kinachotokea kwenye domain yeye ndiye muhusika mkuu. Lakini, kuna wakati kutokana na mfumo wa biashara wamiliki huamua kutumia mtu wa kati ili kukamilisha zoezi la usajili wa domain (Domain Resellers) ambao nao hupata gawio kutoka kwa Registrars au huweka kiasi fulani cha ziada kwa mteja kwa kila domain inayosajiliwa. lakini, mmiliki wa domain anatakiwa awe ni mtumiaji na siyo Reseller.

Mchoro unaonesha Muundo wa Domain

Faida za kutumia .tz domain

Hadi sasa, utakuwa umeshajua Domain ni nini, inafanya vipi kazi na muundo wake. Hivyo ni dhahiri ungependa kujua faida zaidi za kwanini unahitaji kumiliki domain ya .tz, makala hii itasaidia kujibu maswali yanayoweza kujitokeza kuhusu .tz domain.

1. Kupata jina unalolipenda (branding) na kuongeza uaminifu wa wateja

Kwakuwa .com imeshakuwa kwenye tasnia kwa muda mrefu, majina mengi yameshachukuliwa, hivyo watu wengi wamekuwa wakihitajika kuweka neno tz mbele mfano kilitz.com badala ya kili.tz. Kwa kutumia .tz unaweza kuwa na jina jepesi na lenye mvuto kama marathon.tz . Hii ni ngumu sana kupatikana kwenye domain ya com. Hivyo kuwezesha wateja wako waikumbuke brand yako kiurahisi na hata kuweza kuwashirikisha wengine.

Pia, kwa kutumia jina la .tz huleta imani kubwa kwa wateja, hii inajionesha sana kwa taasisi au makampuni yanayofanya kazi na mataifa ya nje. Mfano NGO, asasi za kiraia, makapuni ya safari nk. Punde tuu mtumiaji anapoona .tz basi anakuwa na uhakika zaidi kwakuwa utaratibu wa usajili wa .tz umerasimishwa zaidi na ni ngumu sana kupata matapeli wa kwenye mtandao(Scam) wanaotumia domain za .tz.

2. Matokeo chanya kwenye mitandao ya taarifa (Search Engine Optimization)

Kulingana na tafiti ya mtandao wa Hotspot, 46%  ya matokeo ya utafutaji wa kwenye mtandao, Google Search hutafuta taarifa zilizo kwenye eneo la mtafutaji taarifa (local information). Kuna mambo mengi huchangia kujua kama taarifa hii ipo eneo lako au la. Pia, aina ya taarifa, jina la website na mambo mengine mengi huchangia kwenye hili. Mfano, leo hii ukienda kutafuta Website Hosting Companies in Tanzania kwenye Google ukiwa Tanzania, utaipata Duhosting moja kati ya makampuni ya juu kabisa. Hii ni kutokana na kuiboresha webste yetu kwa ajili ya soko la Tanzania.

 3. Urahisi wa utatuzi wa Migogoro ya Domain na hata kurudisha domain iliyopotea au kuibiwa

Tukiwa kama moja ya makampuni makubwa kwenye eneo la usajili wa Domain, moja kati ya kesi nyingi zinazotufikia ni wafanyabiashara / wamiliki wengi kutapeliwa domain zao na watu waliowaamini kuwasajilia. Mara nyingi waajiri huwaagiza wafanyakazi kusajili domain, sasa baada ya kuacha kazi au kutokuwa na maelewano mazuri hutumia domain kama fimbo katika kuhakikisha muajiri anafanya anachotaka mfanyakazi wakati domain ni mali ya muajiri. Pia, kuna wengine hupoteza mawasiliano na aliyewasajilia (Reseller). Kwakuwa usimamizi wa .tz unafanyika Tanzania moja kwa moja, hivyo, endapo kutatokea tatizo lolote na mtu aliyekusajilia domain ukashindwa kuwa na mawasiliano naye, basi ni rahisi kuwasiliana na Registrar na yeye atakuongoza katika taratibu za kisheria za kurudisha jina lako na hatimaye kutoathiri biashara yako. Na hata pale panapokuwa na mgogoro, TCRA huweza kumsaidia mmiliki wa biashara. Kuna watu wengi sana wamefaidika na hili na watakuwa mashuhuda.

4. Kurudisha Domain iliyofutwa bila malipo ya ziada wala kuchafua brand yako

Mara nyingi kwa domain za .com zinapofutwa, kuna watu online wametengeneza software (BOT) zinazofanya usajili mpya wa domain hiyo tena kwa kasi ya ajabu ambayo wewe kama binadamu hauwezi kushindana nayo, haswa zile zilizokuwa na watumiaji wengi kwa lengo la kuja kukuuzia tena kama utaitaka. Na wengine huzisajili kwa lengo la kuweka taarifa chafu kama picha za ngono, matangazo ya bet nk. Mfano mzuri kwa hapa Tanzania, ni jina la domain la mshauri Nasaa mmoja maarufu sana hapa nchini, leo hii ukitembelea domain yake, kumewekwa picha na video chafu zisizo na maadili. Kumbuka watu walikuwa wameshaizoea hiyo Website yake, sasa leo anafungua anaonana na mambo ya ajabu. Kimsingi wateja wataona hawapo salama tena na inaweza kupelekea kupoteza biashara. Kama umechelewa kulipia domain ya .tz ni ngumu sana kuona mtu ameichukua na pia kwa baadhi ya makampuni kama DuHosting tutakupigia simu na hata kukutumia sms kukukumbusha juu ya kuisha kwake.

5. Kutangaza nchi na kuongeza pato la taifa kwa kupunguza mahitaji ya fedha za kigeni

Ndiyo, kwa kutumia vikoa vya .tz, tunasaidia kutangaza nchi yetu, na pia kuongeza mapato ya ndani kwakuwa hadi sasa hakuna msajili (registrar) wa .com hata mmoja kutoka Tanzania na kuna makampuni si zaidi ya 7 kutoka Afrika nzima yaliyosajiliwa na IANA. Hivyo kwa kutumia .com ina maana tunahamisha hela kwenda nje. Ikimbukwe kwamba watu wanapoona domain za .tz inawasaidia kuikumbuka Tanzania (Identity). 

 Je unahitaji domain ya .com?

Jibu la swali hili ni NDIYO au HAPANA, .tz ndiyo mpango mzima. Haijalishi unafanya biashara Tanzania pekee au dunia nzima, .tz itakufikisha huko na inatosha kabisa. Kumbuka, haijalishi unatumia kikoa cha .tz au .com, zote zitapatikanika dunia nzima. Tofauti tu, kwa kutumia .tz registry wake ni TCRA wakati .com ni IANA. kwa wale ambao wana domain za .org au .com wanaweza kuweka mpango wa kuhamia .tz bila kupoteza nafasi yako kwenye Google (Ranking) na wale wanaoanza unashauriwa kwenda .tz moja kwa moja kwakuwa kuna faida nyingi sana. Hata kama biashara yako inafanya kazi kwenye nchi nyingi, pia, unaweza kusajili domain kwa kila nchi na ukafungua kulingana na nchi husika, mfano ukiwa tanzania na ukafungua Google utapelekwa Google.co.tz

Kuna uoga au dhana ambayo ipo kwa watu wengi wetu ya kuhofia matumizi ya .tz ya kuamini kama .com ndiyo inayojulikana na watu au huko online hawaijui .tz, hii ni imani ya zamani sana. Internet imebadilika sana sasa na kuna maboresho makubwa kwenye mfumo wa utafutaji taarifa.

Unayo kila sababu ya kusajili .tz domain, gharama yake pia ni rahisi, huanzia elfu 12,000 hadi 25000 kwa majina ya kawaida ambapo .com huanzia 35,000 na kuendelea. Pia kwa sasa kuna majina ya premium ya .tz ambayo hayana .co mfano duhosting.tz kama tulivyoelezea hapa .

Upo tayari?   sajili Domain yako Hapa.

Why Is your .tz domain WHOIS contact information is Important?

WHOIS is the global catalog of domain ownership and controller information. it is used for all domains including .tz domains. When it was created it was likened to the white pages of the internet. It contains things such as who the domain is registered with, name, company, address, phone number, email, and name server information (DNS).

Why Update Your WHOIS Information 

According to The electronic and postal communications Act (domain names management) regulations, 2020, every domain must be registered in United Republic of Tanzania must maintain updated contact information of the owner (Registrant) and Technical Contact. Maintaining updated contact information for your domain name in the WHOIS database is an important practice. You may not realize it, but there are certain important reasons why you should update this information, especially the registrant's contact email address and phone number for your domain.

Not only that, WHOIS information is more important than most people give it credit for; it is also used to identify a true owner of the domain.  I think the biggest takeaway is to always make sure your contact information on all of your domains is up to date and valid at all times to help prevent getting snagged up with an outage. It's also very important not just to pick a valid email which is not the same as current domain which will be used to contact you when there is anything related to your domain, eg expired.

DuHosting recommends that every domain should have real contact details of the owner and not the one subscribed with us (we normally call them Resellers). All WHOIS details such as phone, address, email, and business organization information must be updated. If its a registered Company, Sole Propriator or Join Venture Duhosting allows you to add company legal identities such as TIN number and Owner details which will be useful incase of anything happen. We have noticed many Companied falls in legal disputes just after their IT person left and hold the domain, but if your domain WHOIS contains your details, you are safe. Updated .tz WHOIS information will help ensure you receive notice about renewals, transfers, and domain management. If you require help in updating your contact details, please view video below

Video tutorial on how to edit .tz Domain WHOIS information on Duhosting

 

Why become a .tz Domain Reseller? Start your .tz Domain registration Business

Duhosting .tz Domain Reseller program provides opportuniy to business startups with a single platform to sell a variety of .tz domains. It is a great way to earn good money with very little investment. In fact you dont need to be TCRA Accredited registrar in order to start selling domains, you can even start with few domains while Dudumizi do the rest.

How to resell .tz Domains:

If you already have a business or you are thinking to start a new Domain registration Business, you can earn up to Tsh 15,000 for each domain you sell. You can resell many of the prime market movers like .TZ, .CO.TZ. .OR.TZ, .AC.TZ, .SC.TZ, .ME.TZ, and other TLDs. Offer the perfect TLD to each of your customers and help them boost their brand’s identity.

  What’s more, our domain reseller program is a 100% white-labelled so your customers won’t even realise that we are involved. On top of that, you can decide the selling price of the domain as long its within TCRA allowed cap, to maximize the profit margins of your business we advice you to sell with other products such as Hosting. You can also connect your existing .tz domain reseller business through our WHMCS integration.

 Some other advantages of becoming a .tz domain reseller with Duhosting are:
  • You get good price which you will not find anywhere 
  • We are among top 3 .tz Accredited registrar by TCRA with award winning support desk
  • Listed by Google an other platform as the Best Web Hosting and .tz Domain registration Company in Tanzania
  • You can set your own margins and choose how much you make off any of the products under the domain reseller program
  • Our domain reseller program functions as a one-stop solution for all of your customer’s product requirements
  • You get premium support when you fall in short of anything
Below is price tiers for .tz domains Resellers 
 

TLD

Tier

Reseller Price

Market Price

.tz

 

3

2

1

Tsh 85,000

Tsh 90,000

Tsh 95,000

Tsh 100,000
.co.tz

3

2

1

Tsh 21,000

Tsh 22,000

Tsh 23,000

Tsh 25,000
.or.tz

3

2

1

Tsh 21,000

Tsh 22,000

Tsh 23,000

Tsh 25,000
.sc.tz

3

2

1

Tsh 11,000

Tsh 12,000

Tsh 12,000

Tsh 12,000
.me.tz

3

2

1

Tsh 21,000

Tsh 22,000

Tsh 23,000

Tsh 25,000
.ac.tz

3

2

1

Tsh 21,000

Tsh 22,000

Tsh 23,000

Tsh 25,000
 

Tiers slabs:

 
Tier 1: 10 -30       Active Domains
Tier 2: 31 - 50      Active Domain
Tier 3: 51+          Active  Domains
 

You ready?

 
Get started by signing up with .tz domain Reseller Program and watch your business grow daily.